Miongoni mwa taarifa kuu ni pamoja na: Marekani yasema makubaliano ya kusitisha mapigano Syria yanaheshimiwa kwa kiasi kikubwa huku duru nyingine ya mazungumzo ya kutafuta amani ikitarajiwa Jumatatu ijayo// Umoja wa Ulaya na Cuba zatia saini makubaliano ya kurejesha uhusiano kati yao// Ujerumani na Macedonia zatofautiana vikali kuhusu mzozo wa wakimbizi.