Uchaguzi Mkuu Kenya 2022- Kaunti za Nakuru, Machakos na Kirinyaga nchini Kenya zimewachagua wanasiasa wanawake kuwa magavana, ambayo ni nafasi ya juu zaidi kwenye kaunti+++Upinzani Tanzania watoa maoni kuhusu uchaguzi wa Kenya++++Urusi yaelekeza nguvu kudhibiti Mashariki mwa Ukraine.