Waziri wa Mambo ya Nchi za Kigeni wa Ujerumani aonya kuwa mauaji kama yale ya Srebrenica hayapaswi kutokea tena // Uturuki yapitisha sheria tata ya kudhibiti nguvu za vyama vya wanasheria // Na Rais wa Mali ahimiza mazungumzo na wapinzani baada ya maelfu ya watu kuandamana