Nchini Tanzania kauli ya waziri wa mambo ya nje Palamagamba Kabudi aliyoitowa akiwa nchini Uingereza kuhusu hatma ya mwandishi habari aliyetoweka zaidi ya mwaka na nusu Azory Gwanda, inazidi kukanganya na kuibua maswali mengi// Mkutano wa kimataifa kuhusu uhuru wa vyombo vya habari mjini London, Uingereza umekamilika// Rais Uhuru Kenyatta amewaagiza mawaziri wake kukoma kufanya vikao vya usiku.