Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May amefikia makubaliano na chama cha Democratic Unionist kuunda serikali mpya // Ndege moja ya EasyJet yalazimika kutua Ujerumani kutokana na wasiwasi wa usalama // Na Saif al-Islam Gaddafi, mwana wa kiume wa aliyekuwa kiongozi wa Libya Muamar Gaddafi, ameachiliwa huru kutoka gerezani