Mashambulizi ya jeshi la Israel- yauwa wapalestina huko Gaza/ Wanafunzi kadhaa wauawa baada ya kupigwa risasi Urusi/ Uchambuzi: Museveni wa Uganda anatarajiwa kuapishwa kesho kuiongoza nchi hiyo kwa muhula wa sita wa miaka mitano. Hata hivyo, hatarajiwi kubadilisha mfumo wake wa uongozi wa kimabavu aliouanzisha zaidi ya miaka 35 iliyopita