Mahojiano kuhusu machafuko yanayoendelea kati ya Israel na Wapalestina/ Wasiwasi Uganda siku moja kabla ya Rais Museveni kuapishwa/ Hatua ya rais Samia kuhimiza uvaaji barakoa wazusha gumzo/ Miaka 10 iliyopita kundi la nchi za Ulaya lilitia saini mkataba uliolenga kumaliza ukatili dhidi ya wanawake> mafanikio gani yamepatikana tangu kusainiwa kwa Mkataba wa Istanbul?