Waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed ametunukiwa tuzo ya amani ya Nobel leo mjini Oslo// Uongozi katika mataifa mengi yaliyoko barani Afrika umeimarika lakini mengi yanahitajika kufanywa ili kufikia malengo ya mwaka 2063// Tarehe kama ya leo mwaka 1963, Zanzibar ilipata uhuru kutoka kwa wakoloni wa Kiingereza, lakini serikali ya mseto ya vyama vya ZND na ZPP iliyoingia madarakani haikudumu sana.