Hali ya utulivu bado inaendelea kuwepo katika Ukanda wa Gaza kufuatia machafuko ya siku mbili zilizopita kati ya jeshi la Israel na kundi la Hamas//Baraza kuu la Umoja wa Mataifa limemchagua leo Rais wa zamani wa Chile Michelle Bachelet kuwa Mkuu wa Tume ya Kutetea Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa wadhifa wa juu wa chombo hicho chenye makao yake makuu mjini Geneva.