Tanzania- Rais wa Botswana, Mokgweetsi Masisi yuko katika ziara ya siku mbili+++Uganda itatumia hadi aslimia 38 ya mapato yake ya kitaifa mwaka ujoa wa kifedha kulipa madeni na riba za madeni ambayo nchi hiyo inadaiwa+++Serikali ya Kenya inalazimika kukopa kiasi cha shilingi bilioni 2.6 kufadhili operesheni zake kama inavyoelezwa kwenye bajeti ya mwaka 2021/22.