Chama tawala Afrika Kusini ANC kinangoza katika matokeo ya uchaguzi wa bunge// Marekani leo imeongeza kiwango cha ushuru kwa bidhaa za China hatua ambayo China imejibu mara moja ikisema italipiza kisasi// Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis ametangaza jana kanuni kuhusu kuripoti visa kuwanyanyasa watoto kingono.