Polisi wakabiliana na waandamanaji wa pande zinazozozana kisiasa nchini Venezuela // Algeria imeamuru likizo ya mapema kwa wanafunzi wa vyuo vikuu ili kujaribu kuyadhoofisha maandamano yanayoendelea // Na wanajeshi wengi wanaounga mkono siasa za mrengo mkali wa kulia Ujerumani walifutwa kazi kuliko ilivyodhaniwa