Leo inatimia miaka 60 tangu taifa la Tanganyika ambalo sasa ni Tanzania lipate uhuru wake kutoka kwa Mwingireza+++Mwandishi wa habari wa DW Phillip Sandner anauliza je janga la virusi vya Corona linazidisha migogoro barani Afrika?+++Ujerumani imepata kansela mpya baada ya miaka 16. Naye ni Olaf Scholz wa chama cha siasa za wastani za mrengo wa kushoto, SPD.