Siasa09.11.2019 - Matangazo ya MchanaTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaSK2 / S02S09.11.20199 Novemba 2019Ujerumani inaadhimisha leo miaka 30 ya kuvunjwa ukuta wa Berlin. Mahakama ya juu ya India imetoa uamuzi kuhusu eneo la mzozo kati ya wahindu na waislam. Raia nchini Uhispania wanapiga kura leo katika uchaguzi mkuu mwingine.https://p.dw.com/p/3Sk3NMatangazo