Zimesalia wiki chache kabla ya upigaji kura nchini Tanzania// Raia wa Uganda wanaelezea kushtushwa na kushangazwa kufuatia habari za wizi wa kiasi cha shilingi bilioni kumi pesa za nchi hiyo sawa na karibu dola milioni tatu kutoka kwenye mitandao ya makampuni ya simu na benki mbili nchini Uganda.