Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo: Hadi kufikia sasa ni machache yaliyofikiwa katika juhudi za amani/ Barani Afrika wasiwasi umeongezeka kutokana na matendo ya kikatili yanayofanywa na polisi/ Eneo la Sahel ya Kati limeshuhudia ongezeko kubwa la mashambulizi dhidi ya wanafunzi, walimu na shule/ Ethiopia: Jimbo la Tigray linafanya uchaguzi licha ya serikali kuu kukataza uchaguzi huo