Mahakama ya Umoja wa Mataifa yathibitisha hukumu ya mauaji ya kimbari dhidi ya jenerali wa jeshi la Serbia Ratko Mladic // Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lamuidhinisha Antonio Guterres kuhudumu kwa muhula wa pili // Na utekaji nyara wa watoto watumiwa kama mbinu ya kivita nchini Msumbiji