Siasa09.05.2021 Matangazo ya JioniTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaSudi Mnette09.05.20219 Mei 2021Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis ametoa wito wa kukomeshwa ghasia katika eneo la walowezi la mashariki mwa Jerusalem, ambako mapigano kati ya Wapalestina na polisi ya Israel yamesababisha idadi kubwa ya wapalestina kujeruhiwa.https://p.dw.com/p/3tAiqMatangazo