Tanzania kuendelea na mtazamo wake kuhusu Covid-19/ Zanzibar: Serikali kuanza kutumia mtandao kutoa taarifa za vipimo vya Covid19 kwa wanaosafiri kwenda nje ya nchi/ Mtangazaji chipukizi wa DW, Hadija Halifa, ametunukiwa tuzo ya mfano kwa wasichana wenye kusiamia ndoto zao/ Rais Mahamadou Issoufou ameshinda Tuzo ya Mo Ibrahim