Kesi ya Trump kuanza leo wakati mawakili wake wakikosoa/ Ethiopia yawaruhusu wafanyakazi wa kiutu kuingia Tigray/ Maelfu ya waandamanaji wamemiminika mitaani nchini Myanmar wakikaidi sheria mpya/ Tanzania imetaka Umoja wa Afrika kuitambua lugha ya Kiswahili kama lugha ya asili ya Afrika