CCM yasema Rais Magufuli kutoongeza muda madarakani/ Bobi Wine awasilisha mahakamani rufaa iliyorekebishwa/ Ethiopia: Ni ahueni kwa wakaazi wa jimbo la Tigray baada ya serikali kuyaruhusu mashirika ya Umoja wa Mataifa kuwatuma wafanyakazi zaidi wa misaada/ Vyombo vya habari Tanzania vyatakiwa kupinga rushwa ya ngono/ Tanzania yataka Kiswahili kitambuliwe lugha ya asili ya Afrika > Mahojiano/