Trump anaendelea kuutetea uhusiano wa Washington na Uturuki/ Berlin: Wanaharakati wa mazingira waliandamana kushinikiza hatua zaidi za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa/ Polisi Ujerumani wachunguza kisa cha lori lililoibiwa/ Sudi Mnette kuitathmini hali ilivyo miaka miaka 30 baada ya kuuangushwa ukuta wa Berlin