Matumizi ya mafuta kama silaha ya vita yameongeza makali mateso wanayopitia raia wa Libya/ Kutokuwepo na umoja kuhusu sera ya wakimbizi katika nchi za Umoja wa Ulaya imesababisha wakimbizi wengi kuachwa wakiwa wametelekezwa/ Tanzania: Serikali mkoani Singida imeanzisha mpango wa kufundisha elimu inayohusu masuala ya afya ya uzazi la lishe kwa wanafunzi wa sekondari kwa njia ya televisheni