Mgombea urais atakayepeperusha bendera ya muungano wa vyama vinavyomuunga mkono rais Joseph Kabila kutangazwa leo. // Rais Donald Trump wa Marekani ameyaonya mataifa mengine dhidi ya kufanya biashara na Iran baada ya kuiwekea nchi hiyo vikwazo vipya. // Mvutano wa kidiplomasia kati ya Saudi Arabia na Canada wazidi kutokota