1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

08.05.2018 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S8 Mei 2018

Trump anatarajiwa kuiondoa Marekani kwenye mkataba wa nyuklia wa Iran/ Je, zipi changamoto zinazomkabili Putin katika muhula wake wa nne wa utawala?/ Ujerumani inafanya kila njia kuhakikisha inaepusha vita vya kibiashara kati ya Umoja wa Ulaya na Marekani/ Wakili mpya wa rais Trump ameanza vibaya juhudi za kummtetea rais huyo kwa kutoa matamko yanayoshangaza/ Kenya: mvua kubwa zinaendelea kunyesha

https://p.dw.com/p/2xL6o