1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

08.01.2018 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S8 Januari 2018

Jeshi la Syria limevunja mzingiro uliokuwa umewekwa na waasi kuizunguka kambi yake Mashariki mwa mji mkuu Damascus, na kuwakomboa wanajeshi wapatao 200// Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alitoa wito jana Jumapili wa kufungwa kwa shirika la Umoja wa mataifa la kuwahudumia wakimbizi wa Palestina// Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron anafanya ziara rasmi nchini China.

https://p.dw.com/p/2qUbG