Burundi: Moto mkubwa umelitekezeta gereza moja lenye idadi kubwa ya watu/ Congo: Vital Kamerhe ameachiwa kutoka kizuizini/ Ethiopia yadai kuidhibiti miji miwili kutoka kwa waasi/ Maelfu ya wasichana, wanawake walitekwa Msumbiji- Ripoti/ Kenya: Pendekezo kushinikiza kurejeshwa kwa adhabu ya viboko mashuleni na pia kufutilia mbali shule za mabweni limepokelewa kwa mchanganyiko wa hisia na raia