Watu 38 wateketea kwa moto kwenye gereza kuu Burundi/ Nairobi: Afisa mmoja wa polisi amewaua watu sita kwa kuwapiga risasi kisha na yeye akajitoa uhai/ Congo: Mjadala wa kuachiwa katika mazingira ya utatanisha Vital Kamerhe, aliyehukumiwa kifungo kwa ufisadi bado unaendelea/ Israel yafanya shambulio katika bandari ya Syria