Marais wa nchi nne za kanda ya maziwa makuu wanashiriki mkutano wa kilele jumuiya ya kimataifa ambao uliitishwa na rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo// Mgogoro wa Armenia na Azerbaijan katika jimbo la Nagorno Karabakh unazidi kuitia wasiwasi// Shirika la Kimataifa la Kuzuia Matumizi ya Silaha za Kemikali lathibitisha Novichok yakutwa kwenye sampuli za Navalny.