Wabunge wa Democrats nchini Marekani wanapanga kuwasilisha muswada utakaozuia ukatili wa polisi. Papa Francis ametoa wito kwa waitaliano kuendesha kuhehsimu kanunsi za kujikinga na viruis vya corona . waziri mkuu wa Israel ameyataka mataifa yenye nguvu kurejesha vikwazo vikali dhidi ya Iran