Ripoti iliyotolewa na jarida la Ujerumani la Der Spiegel inasema kwamba zaidi ya watu 900 wenye kufuata itikadi kali kutoka Ujerumani wamesafiri kwenda Mashariki ya Kati// Mwaka mmoja tangu kufungwa kwa njia ya Balkan, wahamiaji wengi wanaendelea kukwama au wamepotelea nchini Ugiriki, wengine wanazidi kusongamana nchini Serbia.