Joe Biden ametangaza rasmi kwamba atamteua Jaji Merrick Garland kuwa mwanasheria mkuu wa Marekani// Wanaharakati wa haki za binaadamu wahofia usalama wao Uganda // Jeshi laingilia kati vurugu za bunge nchini Ghana// Wadau wa sekta ya mboga na matunda nchini Kenya wameeleza kuwa sekta hiyo inakabiliwa na changamoto lukuki kutokana na makali ya janga la virusi vya corona.