Watu 50 wauawa, zaidi ya 200 wajeruhiwa kwenye mkanyagano/ Mawaziri wa mambo ya nje wa mataifa manne yanayoongoza barani Ulaya wanakutana mjini Brussels kwa kikao cha dharura kuzijadili Iran na Libya/ Hofu na mashaka yamewaingia jamaa za raia wa Uganda walioko Iraq/ Mashambulizi yaliyozuiliwa leo katika eneo la Garissa nchini Kenya> Mahojiano