Wajumbe wa chama cha Democratic kukosoa hatua ya Trump ya kufanya mashambulizi yaliyomuuwa kamanda mwandamizi wa jeshi la Iran bila kushauriana na bunge/ Ujerumani: Kitisho kinachotokana na siasa kali za mrengo wa kulia hakiko karibu kudhibitiwa/ Barua kutoka Dar/ Hali mbaya ya ukame inatishia sekta ya wanyama pori nchini Afrika Kusini