Scholz ateua Baraza Jipya la Mawaziri Ujerumani/ Ripoti mpya ya taasisi ya kimataifa inayohusika na amani SIPRI/ Kambi ya upinzani inavyosimamia suala la Mbowe/ Congo. Watu wanaokadiriwa kuwa 20 wamepoteza maisha kutokana na ugonjwa wa kipindupindu/ Zoezi la kuwaokoa wachimba migodi wanne waliokwama kwenye maporomoko ya mgodi wa dhahabu wa Abimbo jimboni Siaya nchini Kenya limeingia siku ya tano