Mkutano uliojadili swala la Uhamiaji kwa kuzingatia mtazamo wa kiafrika umefanyika wiki hii mjini Berlin, Ujerumani// Mwezi Agosti mwaka huu, rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa aliidhinisha sheria mpya, yenye azma ya kuwalinda wakopaji wadogo, ambao wanapata tabu kulipa mikopo wanayoichukua kutoka taasisi za fedha.