1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

06.10.2022 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S6 Oktoba 2022

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Viongozi wa Mataifa 44 ya Ulaya wamekutana mjini Prague katika Jamhuri ya Czech ili kujadili matatizo ya pamoja ya usalama na nishati yanayotokana na uvamizi wa Urusi nchini Ukraine/ Serikali ya Zanzibar imesema kuna haja ya kuundwa kwa chombo ambacho kitakuwa na wajibu wa kusimamia utekelezaji wa mapendekezo juu ya namna ya kuyafikia maridhiano ya dhati

https://p.dw.com/p/4HrUU