1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

06.04.2017 Matangazo ya asubuhi

TSA / S08S6 Aprili 2017

Wananchi wa Gambia wanateremka vituoni leo kuwachagua wabunge wao-uchaguzi wa kwanza tangu alipotimuliwa madarakani Yahya jammeh// Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa, UNHCR, linayataka mataifa ya Ghuba kujitolea zaidi kuwasaidia raia wa Syria// Serikali ya Tanzania imeanza kuchukua hatua za kukabiliana na ukataji ovyo wa misitu.

https://p.dw.com/p/2amJ4