1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

06.03.2020 - Taarifa ya Habari za Asubuhi

V2 / S12S6 Machi 2020

Makubaliano ya kusitisha mapigano kwenye mji wa Idlib yaanza kutekelezwa. Mwanasiasa Elizabeth Warren amesittisha kampeni yake ya kuwania urais nchini Marekani. Rais Alassane Ouattara wa Côte d'Ivoire ametangaza kutowania muhula mwingine madarakani.

https://p.dw.com/p/3Ywin