1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

06.03.2020 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S6 Machi 2020

Korea Kaskazini imesema imewaachia raia 220 wa kigeni waliokuwa wamewekwa kwenye karantini kama njia ya kudhibiti kusambaa kwa virusi vya Corona// Kumeshuhudiwa hali ya utulivu hii leo katika mkoa wa Idlib unaokabiliwa na mashabulizi// Kenya na Somalia zimekubaliana kusuluhisha mzozo uliotishia kuvuruga uhusiano kati yao.

https://p.dw.com/p/3YxqA