Hali nchini Syria/ Tillerson anaanza ziara ya mataifa matano barani Afrika/ Katika ripoti yake mpya Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa, UNICEF limesema eneo la Kusini mwa jangwa la Sahara barani Afrika idadi ya wasichana wanaoolewa wakiwa bado watoto imepungua kutoka aslimia 43, miaka 10 iliyopita hadi asilimia 38 kwa kipindi hiki > Mahojiano