Afrika Kusini: ANC kinakutana kumjadili rais Zuma/ Kenya: Mahakama kuu imemuamuru Inspekta mkuu wa polisi na mkurugenzi wa idara ya upelelezi kufika mahakamani kesho asubuhi akiandamana na mwanasiasa wa upinzani Miguna Miguna ambaye bado hajulikani aliko/ Afisa mmoja wa marekani mashuhuri anayefanya uchunguzi kuhusu biashara haramu ya pembe za ndovu na faru ameuwawa