Utawala wa Biden na washirika wake wa Ulaya wanaanza mfululizo wa mikutano yenye lengo la kuionyesha Urusi kwamba uvamizi wowote dhidi ya Ukraine utakabiliwa na majibu ya nguvu+++Tawala za kurithishana si jambo jipya+++ Baada ya kuondoa hofu ya kuahirishwa kutokana na janga la Covid, mashindano ya kombe la Afrika hivi sasa yanakabiliwa na wasiwasi mkubwa wa kiusalama.