Miongoni mwa yaliyomo katika Habari za Ulimwengu:
Matokeo ya awali ya uchaguzi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yaahirishwa kwa wiki moja.
Mazungumzo ya kumaliza mkwamo wa shughuli za serikali Marekani kurejea tena leo.
Washukiwa 34 wakamatwa Paris kufuatia maandamano ya vurugu.