Mshauri wa masuala ya usalama wa Marekani John Bolton ameitaka Uturuki kutowashambulia Wakurdi baada ya Marekani kuondoa majeshi yake Syria.// Tume inayosimamia uchaguzi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeahirisha kutangaza matokeo ya awali kwa muda wa wiki moja. //Waziri mkuu wa Uingereza Theresa May asema Uingereza itakuwa kwenye njia panda, mpango wake wa Brexit, usipopitishwa.