1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.11.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S5 Novemba 2021

Miaka sita baadaye na chini ya mwaka mmoja baada ya kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad, leo hii hapa Zanzibar panafanyika Kumbukumbu ya Kuyaadhimisha maisha ya kiongozi huyo+++Waafghanistan wengi wameikimbia nchi yao baada ya kundi la Taliban kuchukua kwa nguvu madaraka+++Saudi Arabia wanawake wanasemekana kuchangia asilimia 33 ya soko la ajira.

https://p.dw.com/p/42cFi