Iran yaapa kuendelea na mauzo ya mafuta licha ya vikwazo ilivyoekewa/ Wamarekani kesho wanatarajiwa kushiriki kwenye uchaguzi wa katikati ya muhula wa utawala/ Saudi Arabia kikaangoni juu ya rekodi yake ya haki za binadamu/ Tanzania: Sakata ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kutoa agizo la kusakwa na kukamatwa kwa mashoga mkoani mwake> Mahojiano