Tanzania yakamilisha miongozo ya utoaji chanjo/ Kenya: Mudavadi anapendekeza itumike njia tofauti kupitisha baadhi ya mapendekezo yaliyomo kwenye mswada wa ripoti ya maridhiano, BBI, yawe sheria/ Zuma apuuza agizo la kujisalimisha kwa polisi/ Waasi wa Tigray wakubali kusitisha mapigano kwa masharti/ Wadukuzi wadai dola milioni 70 kurudisha data