Netanyahu amerejelea msimamo wa serikali yake kwamba iko tayari kusaidia bara la Afrika kupambana na janga la ugaidi/ Kamati ya bunge ilioyoundwa kufuatia mashambulizi ya kigaidi yaliyoikumba Ufaransa imetaka mashirika ya ujasusi nchini Ufaransa yafanyiwe mageuzi makubwa// Mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan unafikia mwisho. Nchini Uganda sherehe hiyo wanatazamiwa kusherehekea Idd kesho> Mahojiano