1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.06.2018 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S5 Juni 2018

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel ameahidi kuendelea kuliimarisha shirika la utangazaji la Ujerumani, DW// Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu yuko Ufaransa anakokutana na Rais Emmanuel Macron// Ni mwaka mmoja sasa tangu nchi nne za kiarabu kukatiza uhusiano wao wa kidiplomasia na Qatar.

https://p.dw.com/p/2yz3C